2 Peter 2:4-5
4 aKwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu ▼▼ Kuzimu hapa linalotokana na neno Tartarus la Kiyunani; maana yake ni kule ndani sana katika mahali pa mateso kwa watu waliopotea.
katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; 5 ckama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, bali akamhifadhi Nuhu, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;
Copyright information for
SwhKC